Showing posts with label Africa. Show all posts
Showing posts with label Africa. Show all posts

Saturday, October 17, 2015

The World’s Most Educated President 2015

No comments

Education has been proved to be and holds the key to life and Zimbabwe`s very own President Robert Mugabe tops as the most educated President the World has ever seen.

Zimbabwe also has a very high literacy rate, one of Zimbabwe`s pride.

Love or hate Mugabe let facts be facts and let them be told, a lot of people envy him.

Mugabe is a qualified teacher, he has a qualification in economics, he is a lawyer, he has master of laws from the University of London’s external programme, he obtained a BA degree in 1951 from Fort Hare University in South Africa, amongst other qualifications.

At 90 Mugabe leads Zimbabwe, he still has a spring in his stride, he is very eloquent.

Coming to the English language the man speaks the Queen`s language better than the rest of the World.

 

ACADEMIC DEGREES:

1.     Bachelor of Arts (History and English) (BA) degree from the University of Fort Hare (1951)
2.     Bachelor of Administration (B.Admin) from University of South Africa (Unisa)
3.     Bachelor of Education (B.Ed) from the University of South Africa (Unisa)
4.     Bachelor of Science (BSc.) in Economics from University of London
5.     Bachelor of Laws (LLB) from University of London
6.     Master of Laws (LL.M) from University of London
7.     Master of Science (MSc.) in Economics from University of London
The two law degrees were earned while he was in prison (between 1964 and 1975) and the MSc while leading the Zimbabwe government after independence.

REVOKED HONORARY DEGREES:

1.     Honorary LLD degree from University of Edinburgh (1994), which was however revoked in June 2007.
2.     Honorary LLD degree from University of Massachusetts (1986), which was also revoked in June 2008.
3.     Honorary LLD degree from Michigan State University (1990), and was revoked on 12 September 2008.

HONORARY DEGREES:

1.     Honorary LLD degree from Ahmadou Bello University (Nigeria)
2.     Honorary LLD degree from Morehouse College (Atlanta, Georgia)
3.     Honorary LLD degree from University of Zimbabwe (Zimbabwe)
4.     Honorary LLD degree from St. Augustine’s University (Tanzania)
5.     Honorary LLD degree from Lomonosov Moscow State University (Russia)
6.     Honorary LLD degree from Solusi University (Zimbabwe)
7.     Honorary D.Litt. degree from Africa University (Zimbabwe)
8.     Honorary D.Civil Laws degree from University of Mauritius (Mauritius)
9.     HonoraryPage on d.com. degree from For Hare University (South Africa)
10. Honorary D.Tech. degree from National University of Science and Technology (Zimbabwe)
11. Honorary D.Phil (African Heritage and Philosophy) degree from Great Zimbabwe University (Zimbabwe)
They should learn from him before he dies otherwise he will take his secret to the grave.
Other facts of life to learn from Mugabe are one should eat healthy food and stay away from junk, engage in sports and stay away from women, that`s why Mugabe stands tall and alive at 90 while 30 year olds are dying from AIDS.

read more

Tuesday, September 22, 2015

Jaribio la mapinduzi Burkina Faso laelekea kushindwa

No comments

Jaribio la mapinduzi lililofanywa na wanajeshi waasi nchini Burkina-Faso linaelekea kushindwa kufuatia vikosi vya wanajeshi watiifu kwa serikali kufanikiwa kuingia katika mji mkuu wanchi hiyo Ouagadougou.

Hatua hiyo inafuatia pia kuachiwa kwa Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ambaye alikuwa na anashikiliwa tangu Jumatano iliyopita, Luteni Kanali Yacouba Isaac Zida, pamoja na rais wa serikali hiyo ya mpito kabla haijavunjwa.

Duru kutoka nchini humo zinaarifu kuwa wanajeshi waasi walikuwa wamepewa muda hadi wa saa nne asubuhi hii leo kujisalimisha pasipo kumwaga damu na kurejea katika makambi yao pasipo kuleta madhara ya aina yoyote.

Hapo jana, jeshi la nchi hiyo lilisema ya kuwa lilikuwa linawapeleka wanajeshi wake toka maeneo yote ya nchi hiyo katika mji mkuu wa nchi hiyo Ougadougou hatua ambayo pia ilionekana kuungwa mkono na wanachi wengi wa nchi hiyo walionekana kushangilia baada ya kuwaona wanajeshi watiifu kwa serkali mitaani.

Kiongozi wa mapinduzi aahidi kurejesha madaraka kwa serikali ya mpito

Kiongozi wa mapinduzi hayo, Jenerali Gilbert Diendere, baadaye aliomba radhi kwa taifa hilo kwa njia ya maandishi na akaahidi kurejesha madaraka kwa serikali ya kiraia ya mpito.

Wapatanishi kutoka Afrika magharibi walikuwa wamependekeza kubaliana na hatua ya kiongozi wa mapinduzi kukabidhi madaraka na pia kurejeshwa kwa kiongozi wa serikali ya mpito Michael Kafando mdarakani hadi hapo uchaguzi utakapoitishwa. Kafando ambaye tayari ameachiwa huru na wanajeshi hao waasi kwa sasa amekuwa akiishi katika makazi ya balozi wa Ufaransa mjini Ougadougou.

Uchaguzi nchini humo unatarajiwa kufanyika kabla ya mwezi Novemba mwaka huu na wafuasi wa Rais wazamani wa nchi hiyo Blaise Comapaore wataruhusiwa kushiriki.

Sheria ya uchaguzi iliyopitishwa mwaka huu ilikuwa inawanyima nafasi wafuasi wa chama cha Blaise Compaore kutoshiriki uchaguzi huo.

Compaore aliondolewa madarakani kwa nguvu mwezi Octoba mwaka jana baada ya miaka 27 ya kuwepo madarakani baada ya kujaribu kutaka kuongeza muhura mwingine wa uongozi kwa kubadilisha katiba ya nchi hiyo.

Rais wa Ufaransa Francoise Hollande naye pia aliwataka wale wote waliohusika na mapinduzi hayo kujisalimisha na kukabidhi madaraka kwa mamlaka halali vinginevyo wawe tayari kwa hatua yoyote itakayo fuata.

Alionya pia kuwa Ufaransa ambayo bado ina ushawishi ndani ya taifa hilo ambalo ni koloni lake la zamani inaweza ikachukua hatua ya vikwazo dhidi ya wale wote wanaopinga kufanyika kwa uchaguzi.

Wito wa aina hiyo pia ulitolewa na Marais wa Niger na Chad ambao waliwataka wanajeshi waasi kurejea kambini na kurejesha madaraka kwa serikali ya mpito waliyipindua juma lililopita.

read more

Friday, September 18, 2015

Rais aliyepinduliwa Burkina Faso ‘huru’

No comments


Rais wa mpito wa Burkina Faso Michel Kafando aliyeondolewa mamlakani na kikosi cha walinzi wa rais ameachiliwa huru na yuko buheri wa afya, viongozi wa mapinduzi wamesema.
Hata hivyo, Waziri Mkuu Isaac Zida, aliyezuiliwa wakati mmoja na walinzi hao walipovamia mkutano wa baraza la mawaziri, amewekwa kwenye kizuizi cha nyumbani.

Viongozi hao wa mapinduzi wamekubaliana kuhusu mambo muhimu ya kujadiliwa, huku marais wawili wa mataifa ya Afrika Kusini wakiwasili nchini humo kuongoza mashauriano.
Rais Macky Sall wa Senegal na Thomas Boni Yayi wa Benin, walielekea Burkina Faso kufanya mashauriano na viongozi waliopindua serikali.

Rafiki wa karibu wa kiongozi wa zamani Blaise Compaore anayeishi uhamishoni Ivory Coast, Jenerali Gilbert Diendere, alitangazwa kiongozi mpya na walinzi hao Alhamisi.
Viongozi wa Amerika, Ufaransa na Muungano wa Afrika (AU) wameshutumu mapinduzi hayo.
Watu watatu wanadaiwa kuuawa baada ya wanajeshi wa kikosi hicho cha walinzi maalum wa rais (RSP) kuwakabili waandamanaji katika jiji kuu la Ouagadougou.

Shirika la kijamii lenye ushawishi mkubwa la Balai Citoyen limesema waliouawa ni 10.
Idadi isiyojulikana ya waandamanaji wanaopinga mapinduzi hayo pia wamekamatwa na kuzuiliwa.
Viongozi hao wa mapinduzi wametangaza amri ya kutotoka nje usiku nchini humo na kufunga mipaka yote ya taifa hilo.

CHANZO: BBC Swahili
read more

CHAPPiE: Filamu Kali Wiki hii.

No comments


Moja ya Filamu kali zilizotoka mwaka huu zinazohusu teknolojia ni nyingi ila chache kati ya hizo ni Blackhat, Furious 7 na CHAPPiE.
CHAPPiE ni Filamu iliyoigizwa nchini Afrika Kusini,Ambapo inaelezwa kwamba baada ya nchi hiyo kuchoshwa na vitendo mbalimbali vya uharifu katika jiji la Johannesburg, serikali yake inachukua uamuzi wa kununua teknolojia ya roboti wenye uwezo mkubwa wa kufikiri (Artificial Intelligence ) ili kulisaidia jeshi la polisi kukabiliana na matatizo hayo.

Lakini hapo badae mgunduzi (Dev patel) wa roboti hizo anataka kujribu mfumo mpya (Program) ambao utawanya roboti hao kuwa na hisia na makuzi kama ya binadamu lakini Bosi wake anamkatalia kujaribu mfumo huo.

Ndipo anapoiba roboti moja lililoaribika ilikujaribu huo mfumo, na hapo ndipo matatizo yanapoanza.



Filamu hii imechezwa na waigizaji maarufu kama Dev Patel ( ameigiza katika filamu ya Slumdog Millionaire ya 2008), Hugh Michael Jackman (Ameigiza filamu za X-men) na wengine wengi.
Itafute movie hii uitazame, NI KALI SANA.
read more

Monday, September 14, 2015

Misri yaomba radhi

No comments

Misri imeomba radhi baada ya watu 12, wakiwemo watalii raia wa Mexico kuuawa kwa bahati mbaya na vikosi vya usalama wakati wa Operesheni dhidi ya ugaidi.

Wizara ya mambo ya ndani ya Misri imedai kuwa kundi hilo la watu liliingia kwenye eneo lililopigwa marufuku.

Nchi hiyo imekuwa ikipambana na wanamgambo wa kiislamu kwa miaka kadhaa huku mashambulizi yakishika kasi tangu kuondolewa madarakani kwa Rais Mohammed Morsi mwaka 2013.

Mbali na kuwa jangwa la magharibi ni kivutio cha utalii, limekuwa la hatari kwasababu ya kuzorota kwa usalama nchini Libya.

Raia kumi wa Mexico na wa Misri walijeruhiwa katika operesheni hiyo.Maafisa usalama wamesema idadi ya watalii wa Mexico waliouawa ni wanane na wamisri wanne ingawa idadi hiyo ya Raia wa Mexico haijathibitishwa na Mexico yenyewe.

Waziri Mkuu wa Misri,Ibrahim Mahlab ameomba radhi kwa njia ya simu alipozungumza na Balozi wa Mexico jijini Cairo,Al-Yawm al-Sabi.Tovuti ya nchi hiyo ilimnukuu.

Chanzo:BBC Swahili  

read more

Thursday, September 10, 2015

Walemavu wa macho kupiga kura wenyewe

No comments


Kwa mara ya kwanza nchini Tanzania, watu wenye ulemavu wa macho watashiriki katika kumchagua kiongozi wanayemtaka kwa kutumia kifaa maalum chenye maandishi ya nukta nundu au Braille katika uchaguzi mkuu utakofanyika Oktoba 25 waka huu.

Vifaa hivyo vitaanza kufanyiwa majaribio mwishoni mwa mwezi huu ambapo watu hao wataweza kufundishwa jinsi ya kupiga kura bila ya kuwa na mtu wa kumsaidia au kumwongoza kupiga.

Kumekuwa na madai kuwa wale waliokuwa wakiwasaidia watu wenye ulemavu wa kuona mara nyingi huwapotosha walemavu hao kwa kupiga kura kinyume ya matarajio ya mlemavu huyo.

Tangu jadi walemavu wa macho wamekuwa wakishiriki katika kupiga kura kwa kusaidiwa na watu ambao huwa wanenda nao katika vituo vya wa kupigia kura kwa lengo la kuwaelekeza wakati mwingine husaidiwa na mawakala au wasimamizi wa vituo vya kupigia kura.

Chanzo: BBC
read more

Monday, September 07, 2015

The future is African

No comments

This is a call to action for the dreamers of the world.

Imagine being in a market where more people live in a high-speed mobile Internet zone than have electricity. Where farmers with $50 Android 5.0 smartphones use WhatsApp to joke with their friends on one thread and confirm market prices for cassava on another. And data for one dollar per gigabyte is used to spread viral videos through villages of women singing Michael Jackson.

The art of the possible would be different in places like this. The innovative thinking that has defined the world's best entrepreneurs would be able to create services that don't exist today that would empower these users. This world doesn't need imagining — there are many places like this in Sub-Saharan Africa today.

Something magical is happening in the poorest countries of the world. With smartphone prices plummeting, with ever-affordable, and fast, mobile data and with increasingly user-friendly services, tech has taken off in Africa.

On the other hand, outside of a few dreams of drones and balloons, the tech industry hasn't really looked at Africa as an area of opportunity. This is a place to give aid, not a place to make money.

This is foolish; Africa is the fastest-growing economic and population region of the world. An influential study from UNICEF projects Sub-Saharan Africa to have a population boom from today's 900 million people to 2.4 billion by 2050, with almost half of the world's children being on the continent by 2100.

Couple this with an underlying growth rate of just 2 percent in the United States, a Europe that could only dream of such a number and a China that has already peaked in labor force population. Is it any wonder where the future of the world lies? As UNICEF reports, “The future of humanity is increasingly African.”

Outside of a few dreams of drones and balloons, the tech industry hasn't really looked at Africa as an area of opportunity.

Why aren't innovative projects sprouting to take advantage of this opportunity? The answer is that there are already seeds in the ground. Forums like East Africa'sPIVOT East showcase a startup culture that would be instantly recognizable to any Silicon Valley veteran.

However, seeds are not enough. The greater problem is that there is not yet critical mass in having the right mixture of dreamers, builders, money and support that let innovative businesses sincerely disrupt Africa.

WhatsApp and Facebook show that disruption is possible. But almost every single product that Western tech companies target in the developing world are developed in American or European startup hubs — by developers who have never heard of a boda boda, used Internet in the absence of electricity or had a user-experience case study that includes an illiterate farmer.

The biggest gap is from the builders and the dreamers. Until the world's best and brightest decide to stay in Africa, instead of ignore it or flee it, there will be little headway in creating a tech ecosystem that innovatively confronts the opportunities and challenges of the continent — because no one understands them.

You can only solve the problems you understand. If you look out the window and see San Jose, you will solve problems for the people of San Jose. If you look out the window and see Kigali, you will solve problems for the people of Kigali.

So why is this a call to action? Are you a dreamer? Are you a builder? Don't build the next WhatsApp in America, come to Africa.

If you want money, it will be here for the pioneers who unlock the mysteries of success. If you want to have positive impact, the people here are the poorest in the world, and can benefit the most from innovative products. If you want to build something beautiful, you will be operating on a blank canvas, building in a green field that doesn't have to compromise with legacy systems or legacy thinking.

The challenges are huge, just as they were for America's forefathers who decided to leave an atrophied Europe in the hope of a brighter future. Access to capital (or lack thereof), shoddy infrastructure, rampant corruption and overbearing bureaucracy all present huge headwinds that should intimidate any entrepreneur.

However, places like Kigali, with its strong rule of law, ease of doing business and ICT entrepreneur visa can be a test kitchen where startups can launch, iterate, then scale into larger markets.

We are looking into an African future. This can be a future full of missed opportunities, with mass unemployment and continuing failure for the poorest countries to give their people the opportunities the West takes for granted.

However, it also can provide opportunity, a place where innovative ideas for huge markets that have high impact can thrive and conquer. The choice is not passive. Africa needs ICT pioneers who will be a critical determinant in choosing which future it sails toward.

This article originally appeared on TechCrunch at http://techcrunch.com/2015/09/05/the-future-is-african/

read more

Sunday, August 30, 2015

Sherehe za Mswati zatakiwa kusitishw

No comments

Utawala wa kifalme nchini Swaziland unaongozwa na mfalme Mswati umetakiwa kufutilia mbali sherehe maarufu za kitamaduni baada ya wasichana kadha waliokuwa wakisafiri kwenda kwa sherehe hizo kufa kwenye ajali ya barabarani.

Kundi linalounga mkono demokrasia nchini humo la (the Swaziland Solidarity Network) limetoa wito kwa mfalme Mswati kufutilia mbali sherehe hizo ambazo wasicha walio nusu uchi hucheza mbele ya mfalme.

Kundi hilo linasema kuwa zaidi ya wasichana 60 waliangamia wakati lori walilokuwa wakisafiria lilihusika kwenye ajali ya barabarani.

Utawala nchini Swaziland unasema kuwa idadi ya wasichana waliokufa ni 13.

read more

Thursday, August 13, 2015

#whatWEsay: UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU SIKIA HII

No comments

Muongo alikuwa akiwahadithia watu jinsi alivyokuwa akipambana na rushwa na ufisadi nchini mwake. Mara simu yake ikaita, ....akakatisha hadithi yake sehemu alipomkamata fisadi mmoja papa. 
Baada ya kumaliza kuongea na simu akauliza niliishia wapi kuhadithia? Wakamjibu kumkamata fisadi mmoja papa. Akaendelea....." Aaaah basi nikamfanyisha sala ya toba na muda mchache tu baada ya ile sala ya toba nikagundua yule bwana ni msafi kweli, hana doa, ni mpiganaji na mtetezi wa wanyonge, alipokuwa anaiba hakujua kwa nini alikuwa anaiba....

Watu wakajiuliza kimoyo moyo....Huyo huyo fisadi papa? wakaguna Mh!! Muongo hakujali akaendelea kuwa bize na story.....Basi nikaanza kushirikiana nae katika vita yetu ya kupambana na ufisadi. 
Tuliwakemea wote walotaka kuwa madalali wa gesi na mafuta, hatukupokea hongo ila tuliwasaidia vijana vijisenti vidogo vya kuandamana nasi katika mapambano. Watu wakasema acha hizoooo, we mjinga nini, tokea lini fisadi papa akaonesha uzalendo kama huu?

#whatWEsay ni mfululizo wa habari zinazoelezea jinsi gani wananchi wanautazama uchaguzi ujao.

HAYA SIO MAONI YA CNT
read more

Monday, August 10, 2015

UN yapeleka maafisa wake nchini Burundi

No comments

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeunga mkono mpango wa kutuma maafisa wake wa ngazi ya juu nchini Burundi kwa ajili ya kutatua hali ya sintofahamu iliyopo nchini humo.

Baraza la hivi sasa lililopo chini ya Mnigeria Joy Ogwu limesema kuwa kumekuwepo na wasiwasi mkubwa juu ya hali ya usalama nchini Burundi huku likitoa wito kwa serikali kufanya mazungumzo ya amani na upande wa upinzani.

Kiongozi mwandamizi wa umoja wa mataifa kuhusiana na haki za binaadam Ivan Simonovic, ambaye alipelekwa na baraza hilo alisema hali ilikua ya kuzorota nchini Burundi lakini bado hawajakata tamaa.

Tangu,Rais Pierre Nkurunzinza , mapema mwaka huu kutangaza azma yake ya kugombea awamu ya tatu ya kuitawala nchi hiyo hali ya usalama bado haijatengamaa.

read more

Friday, August 07, 2015

Mapigano ya kikabila yauwa zaidi ya 300 Kenya 2015

No comments


Wakati matumizi ya nguvu kati ya makundi yanayohasimiana ni jambo la kawaida katika mikoa ya Bonde la Ufa kaskazini mwa Kenya idadi ya watu waliopoteza maisha yao katika kipindi cha miezi sita ya kwanza ya mwaka huu tayari imefikia kiwango cha jumla cha vifo vilivyotokea kwa mwaka mzima wa 2014.

Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoratibu masuala ya Kibinaadamu imesema katika taarifa vurugu za matumizi ya nguvu baina ya jamii za kikabila zinaendelea kuzagaa katika Bonde la Ufa kaskazini.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo kuanzia Januari Mosi hadi Juni 30 mwaka 2015 watu 310 wamepoteza maisha yao wengine 195 wamejeruhiwa na 216,294 wamepotezewa makaazi yao ikiwa ni matokeo ya mizozo ya mpakani iliokosa ufumbuzi, wizi wa mifugo na mashambulizi ya kulipiza kisasi,kugombania ardhi na rasilmali za maji na mizozo ya kisiasa.

Uhaba wa rasilmali

Uhasimu kati ya jamii za wafugaji zenye kugombania rasimali haba za mifugo na maji unazidi kupaliliwa kwa kupatikana kwa urahisi bunduki za rashasha na kutokuwepo kwa vyombo vya usalama vya taifa katika maeneo hayo.

Maeneo yalioathirika zaidi ni mikoa ya kaskazini ya Turkana,Baringo,Samburu; Marsabit na Isiolo.

Machafuko mabaya kabisa yalikuwa ni yale kati ya jamii ya Pokot na Turkana halikadhalika kati ya watu wa Turkana na Wasamburu.

Hapo mwezi wa Mei takriban watu 75 waliuwawa katika kipindi cha siku nne cha wizi wa mifugo na mashambulizi ya kulipiza kisasi.Kwa muijibu wa Umoja wa Mataifa hapo mwaka 2014 watu 310 wameuwawa ,214 wamejeruhiwa na 220,000 wamepotezewa makaazi.

Matembezi ya amani

Repoti hiyo inakuja wakati wanariadha kadhaa mashuhuri wa Kenya wakiwemo mabingwa wa zamani wa mbio za marathon Wilson Kipsang na Tegla Loroupe wakielekea kumalizia matembezi yao ya amani dhidi ya matumizi ya nguvu ya kikabila.

Bingwa wa zamani wa marathon katika mashindano ya Jumuiya ya Madola John Kelai mmojawapo wa waandaaji wa matembezi hayo ya kilomita 480 pia anashiriki kuwakumbuka wajomba zake watatu waliouawa katika wizi wa mifugo.

Gwiji wa riadha wa Ethiopia Haile Gebrselassie ajajiunga na matemebezi hayo wakati yakimalizia siku yake ya 22 hapo Alhamisi baada ya kupitia maeneo yalioathirika zaidi na vurugu hizo za kikabila.

Ethiopia inapakana na Kenya kaskazini na wafugaji wenye silaha hufanya mashambulizi ya wizi wa mifugo kutoka pande zote mbili za mpaka ulio mkubwa kabisa.

Chanzo: DW Swahili

read more

Muda wa mwisho uliotangazwa na wanajihadi wamalizika Misri

No comments

baada ya muda wa mwisho kupita.

Wizara ya mambo ya kigeni ya Misri imesema inafanya juhudi za hali ya juu kumtafuta Tomislav Salopek , mfanyakazi wa kampuni ya kigeni ya utafutaji wa mafuta mwenye umri wa miaka 31 aliyetekwa nyara mwezi uliopita.

Slopek ameonekana katika ukanda wa video wa kundi hilo la IS uliotolewa katika mtandao wa Internet siku ya Jumatano, akiwa amepiga magoti karibu na mtu aliyejifunika uso akiwa ameshika kisu.

Alisoma kikaratasi kwamba watekaji nyara wake watamuua katika muda wa saa 48 iwapo serikali ya Misri itashindwa kuwaachia huru wanawake walioko magerezani, sharti kuu la wanamgambo hao wa Kiislamu katika muda wa miaka miwili iliyopita.

Video hiyo haikufafanua ni wakati gani muda huo wa mwisho ulianzia, lakini zaidi ya masaa 48 yamepita tangu video hiyo kuwekwa mtandaoni, na hakuna taarifa mapema leo Jumamosi juu ya iwapo hatua ya kuuwawa mtu huyo imetekelezwa.

Raia wa kigeni wanahofu

Utekaji nyara huo ambao haukutarajiwa nchini Misri -- umewatisha raia wa kigeni wanaofanyakazi katika makampuni ya kimataifa na kuonesha uwezo wa makundi ya Jihadi , licha ya kampeni kubwa ya kijeshi dhidi ya kundi hilo la IS.

Licha ya kuwa imekuwa ikipambana na wapiganaji wa IS katika eneo hilo la rasi ya Sinai linaloishi watu wachache, taifa hilo la Afrika kaskazini limekuwa halijakumbana na kadhia ya utekaji nyara wa raia wa kigeni na mauaji ya kinyama yanayofanywa na wapiganaji wa jihadi nchini Syria na Libya.

Baba yake Salopek ametoa wito kwa wateka nyara kumwachia mwanae , baba wa watoto wawili, wakati waziri wa mambo ya kigeni wa Croatia Vesna Pusic amesafiri kwenda Cairo kwa mazungumzo ya dharura.

"Nawaomba watu ambao wanamshikilia mwanangu kumruhusu arejee katika familia yake, kwasababu nia yake kwenda katika nchi yenu ilikuwa tu ni kwa madhumuni ya kupata riziki yake na watoto wake.

Hakuna zaidi," Zlatko Salopek ameliambia shirika la habari la AFP nyumbani kwake katika mji wa mashariki nchini Croatia wa Vrpolje.

Waziri wa Croatia aenda Misri

Baada ya mazungumzo kati ya waziri wa mambo ya kigeni wa Misri Sameh Shoukry na Pusic , serikali ya Misri imesema: "Hatutasita kuchukua hatua yoyote kumtafuta na kumpata mateka huyo na uhakika wa usalama wake."

Maelfu ya watu , wengi wao wafuasi wa mrengo wa Kiislamu , wamefungwa jela tangu jeshi kumpindua kutoka madarakani rais mwenye msimamo wa itikadi ya dini ya Kiislamu Mohammed Mursi mwaka 2013 na kuanzisha ukandamizaji uliosababisha vifo kwa waungaji wake mkono.

Salopek alitekwa nyara mwezi uliopita katika barabara kutoka magharibi ya Cairo. Dereva wake ameachiwa bila kudhurika , na polisi imesema wamemhoji.

Katika mji anakotoka Salopek , majirani wanasubiri taarifa kuhusu Salopek , wakimweleza kuwa ni kijana mcheshi.

Chanzo: DW Swahili

read more

Friday, May 29, 2015

VIDEO: Diamond Platnumz Ft Mr Flavour - Nana

No comments


This song"NANA"Has Been Produced By Naahreal From Tanzania And Writen By Diamond Platnumz And Mr Flavour'The Video Was Shoot In Cape Town,South Africa By Godfather Production.

read more

Biashara ya namba za simu Tanzania yawa kero.

No comments


Kumekuwa na malalamiko mengi kuwa mitandao ya simu Tanzania imekuwa ikiuza laini za simu ambazo namba zake zimekwisha tumika na mtu mwingine na kisha kusumbuliwa na watu waliotumia namba hiyo. 
Mwezi huu mwanzoni nilinunua laini ya mtandao wa vodacom, mara tuu nilipoanza kutumia laini hiyo nikapigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mmiliki wa namba hiyo na kunitaka ni mrudishie, na alikuwa tayari kulipa kiwango flani cha pesa ili aipate laini hiyo. 
Maswali niliyojiuliza:- 
1. je serikali imeruhusu jambo hili? 
2. Kama ndiyo, waliweza fikiria matatizo yanayoweza tokea baada ya mtu kuuziwa laini hiyo? 
Mfano: kama namba hiyo ilitumika kufanya uharifu na mtumiaji huyo hakukamatwa, kisha akauziwa mtu mwingine, huko si ni kuuziana kesi jaman? 
3. Je, Mitandao ya simu ilikubaliana na wenye namba hizo kufanya biashara hiyo. Maana hawawezi kujua kwanini mtumiaji alishindwa ku renew namba hyo kwa wakati. 
4. Je, watumiaji wapya wa namba hizo wakikutwa na janga lolote, mitandao hiyo ipo tayari kulipa fidia. 
Ni vyema kutafuta njia nyingine ya kuweza kutengeneza namba mpya za simu kiliko hii ya kuuza namba za simu zilizotumika na watu wengine, kwani hatujui ni kwa sababu ipi ilizifanya zisitumike. Kama na wewe umekutwa na janga hili usisite kutujulisha.
read more